Nigerian Wedding: LOvELy....Imenibambaa



Nafikiri Fundi Kaoneka pia anaweza kudarizi.... lol
 

Here comes a bride

Vurugu hizi alizobeba huyo mtoto zinapatikana Bianca salon - Kikapu cha maua na mto wa kubebea pete @ 25,000 only


uuuuuuuu la laah
Sasa kikofia kimekunjwa

Rangi hizo....watarajiwa....
Unanitega??  Kama umependa Bouquet suluhisho ni Bianca salon

Yeah he's mine

Hapo lazima uwe unanukia pia
Uwe wangu wa milele
Bidada si akabadilisha nguo?? katokeaje sasa?

Muda wa makashikashi umepitwa na wakati.... Simple lakini motooo

Keki balaa
 

Normarrr
Kaka anahudhuria harusi za Nigeria huyu.... nampongeza

Muda muafaka
Tips:
Nimegundua kitu kimoja sio lazima utumie pesa nyingi sana kwenye harusi ila mpangilio unaweza kuifanya mzima siku yako ikawa nzuri na kumbumbu isiyosahaulika, nikiangalia kwenye mapambo hayo sioni Palms wala vimweku mweku kwa nyuma, ukiwa unaolewa au wewe ndio mshauri mkuu kwenye harusi hiyo zingatia yafuatayo:
Mapambo: ya Ukumbini na Kanisani (kama ni mkristo) 
Mavazi: ya Bi. Harusi, Bw. Harusi, Wazazi, Wasimamizi, na Familia kwa ujumla
Mpiga picha: na pozi zenu kwa ujumla
Salon: zingatia muonekano usiokuja kukuchosha katika maisha yako maana kuna msemo usemao ndoa haijirudii
Chakula: ladha na mpangilio wa chakula ni kitu muhimu sanaa


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...