Una Maswali mengi kwani we ni POLISI??

Mtu katoka nyumbani kwenye kioo kajiangalia, na bado yuko na bado Baby wake kamuhakikishia kuwa HAKUNAGA.... we unauliza hiyo mbona kama Brazia? Katokaje ndani?? haya mavazi gani sasa??? Huyu siku izi ana data nini??? Iga ufe.... na ukiiga angalia shepu baby... Tumbo? Ziwa? Kifua? Mikono? Mabega? Hips??






Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...